Vaitu vya Stella Mccartney vime onekana kuvaliwa sana kwa sasa, kila fashionista anaejua kwenda na wakati ana hii pear ya kiatu. Hivi viatu ni kama Raizon lakini vyenyewe wame vi style kidogo wame badilisha sole, wavipa muonekano wa tofauti na unao endana na wakati wa sasa.
Tume waona watu kama Rihanna, Karrueche, Cardi B na wengine wengi wakiwa wame vaa viatu hivi. Unaweza kuangalia jinsi walivyo vistyle
Cardi B ame vivaa na jumpsuit
Kae yeye alivivaa na suruali na blouse akiwa katika cover ya gazeti la VULKAN

Kwa Tanzania yumemuona mbunifu bijoux trendy akiwa ame vivaa viatu hivi na yeye pia ame vistyle mara nyingi lakini hii ndio tuliipenda zaidi
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 51928 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/stella-mccartney-shoes-zinavyo-trend-kwa-sasa/ […]