Valentine Day ni siku ya wapendao ambapo wengi wetu huwa tunachukua muda kutoka na tuwapendao, bahati mbaya mwaka huu siku hii imeangukia jumatatu ambayo ni siku ya kazi, kutoka kazini urudi nyumbani kujitaarisha ni mtihani mwingine, foleni utafika umechelewa na unaweza kughairi date yenyewe, lakini kuna outfits ambazo unaweza kuvaa kisha ukatoka na kuongezea vitu vichache unavyoweza kuvibeba kwenye mfuko/handbag na ukaenda kwenye date yako kama kawaida.
Red Suit
Kama ni mpenzi wa suit basi namna rahisi ambavyo unaweza kufanikisha hili ni
kwa kuvaa na bralette ndani ya suit yako
ukitoka jioni unafungua vifungo vya suit au unatoa kabisa coat
kunja suruali chini kupata casual loo
paka bold lipstick

Red Pencil Dress
Pencil dress ni vazi zuri ambalo unaweza kuvaa kazini na ukaenda nalo kwenye date, hapa unaweza kuvaa plain na viatu vyako kama kawaida au ukaongezea na blazer ukaenda kazini, ukitoka unaweza kuongezea belt, statement earrings, viatu virefu, mkufu etc inategemea na upo comfortable na kipi na style yako.

Jumpsuit
Inaweza kuwa red au color yoyote ya chaguo lako, unaweza kuvaa bila accessories ukiwa kazini na ukitoka ukaongezea vinogesho vitakavyo nyanyua muonekano wako ukakaa ki-usiku na ki-date zaidi mfano: Clutch, Mkufu, Hereni, Bangili etc

Stylish Skirt

Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…