Linapokuja swala la Fashion Week kwa baadhi ya Nchi huwa wanachukulia serious sana, hasa kwa wale ma-fashionista, wanamitindo, wabunifu na wapenda fashion kwa ujumla. Huwa wanajiandaa vilivyo kama tunakumbuka mwaka jana ilianza na kishindo na kuisha vizuri kabisa maana kila mpenda mitindo alitaka kutuonyesha jinsi ambavyo yupo vizuri katika mitindo
tume spot mitoko michache kutoka kwa walio attend katika event hii day 1 & day 2
Fashionista Mbali Nxumalo, akiwa amevalia Zara Track Suit ya grey na mustard, amemalizia muonekano wake na clack boots alizo match na belt, pink handbag aliyo match na lipstick ila ku-make a statement akavaa na poncho ya mustard ambayo imemfanya a stand out.
Tracksuit: @zara
Poncho: @fashiondashcouture .
Couples that’s slay together stay together @omuhlegela@kat_sinivasan
Itumeleng SOLAR Modise youtuber kuoka South Africa yeye aliamua kuwa all red, Lady In Red
TV Personality/MC Brand Creative/Strategist REEBOK S.A Ambassador MAYBELLINE Global IT Girl, Naomi Noinyane yeye aliamua kuchagua pink & black outfit which went well with her skin tone.
Fashion lover Tshepi Vundla yeye alichagua a high waist red trouser akamalizia muonekano wake na black pumps, black top na black clutch huku akiwa ametupia a shawl ( classy)
tutakuletea nyingi lakini kwa sasa tuambie outfit ipi imekuvutia zaidi kati ya hizo tano.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/street-styles-we-spotted-at-south-africa-fashion-week-ss18/ […]