Tukiwa tunaelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, tumemtafuta style blogger Azure ametupa tips chache za nini uvae au uwe nacho katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ni matumaini yetu utapata mawili matatu ya kukusaidia
Afroswagga – Tuambie must have’s au essentials za kuwa nazo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Azure – As many stara outfits as one may have (meaning, maxi dresses, skirts, pants, long sleeve tops etc..) katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, a.)Abaya au wengine huita baibui is a must have. Japo moja tu. b.) hijab au scarves specifically ya white,black and beige. These colors go with almost everything. Sio lazima mtu awe na hijab za kila rangi, ukiwa na atleast hizi rangi tatu then you’re good to go. c.) Bubuu. Like an abaya bubuu pia mtu awe nalo atleast moja au mawili.
Afroswagga – Wengi wanapata shida kustyle mavazi ya stara kazini tupe tips chache ambazo unaweza kutumia katika kustyle mavazi ya ofisini
Azure – Do not stick to dark colors and plains. Be vibrant, wear prints, patterns, wear colors to work. For those working in a corporate environment, regardless the colors that you’re required to wear, unaweza kuvaa prints and patterns in those colors that you can wear to work. Prints ni kama vile, maua, njugu (floral, polka dots. N patterns ni kama, stripes, plaid, check,gingham. Si kila pahala utaenda umevaa baibui at times utataka au itabidi ubadili muonekano then bubuu is the way to go. Bubuu, dera, gudeli they all fall into the same category kinacho tofautisha ni design za mishono
Also, always have one statement piece in your whole outfit each day. Iwe ni top/ shirt, skirt/ pants, shoes, bag or hijab. Make sure una kitu kimoja cha ku-slay and make your whole outfit be a woooow!
Kama skirt yako ni midi/pants unaweza kuvaa na socks zile nyepesi or za fishnet to coverup but also be a little dramatic and spice up your look.
Afroswagga – Kwa upande wa hijab, ni style zipi ambazo msomaji anaweza kufunga akaonekana vizuri lakini pia corporate
Azure –Kwa hijab, first ni material za hijab. Hijab nzuri za kufunga kwa mtu wa Kazini ni za Material ya mpira na silk. These two materials, zinakaa vizuri na pia hazitelezi kike the other materials.
Kwa style ya ufungaji I recommend mbili. Moja ni turban but style kwa mwezi huu itapendeza endapo nguo iliyovaliwa ni turtle neck(pull neck) au ina collar ya kichina.
Style nyingine ni hii ya kawaida ya kuzungusha mtandio. Ili upate a chic stara corporate look, then usifunge mtandio ukawa mrefu kupitiliza kifua. Inapendeza zaidi ikiwa na urefu wa wastan. Meaning that, ifunike shingo, idondoke kifuani ila usizidi usawa wa matiti.
Na ikiwa siku amevaa blazer au blouse yenye urembo singoni or kifuani then akichomekea hijab yake pia inapendeza. Atachomekeaje hijab? Afunge ushungi kwanza then avae blazer/ blouse yake kwa juu.
Afroswagga – nini cha ku-ignore mwezi huu wa Ramadhani hasa upande wa corporate outfits
Azure – Kitu cha ku ignore katika mwezi huu mtukufu ni yake mavazi yote yanayoonesha maumbile yetu haswaa yake yanayobana. Mtu aweza kuwa na skirt ndefu or pants lakini zikawa body hugging. Hizi tuzi ignore kwa sasa.
There’s a post on my blog with that tip and relevant pics.
But also to avoid traumatizing your audience.
na kumfollow instagram hapa – azurekange
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…