Tiwatope Savage-Balogun a.k.a Tiwa Savage ni mwanamuziki,muandishi na muigizaji, just like her name Tiwa Savage ni savage linapo kuja swala style & fashion, ni moja kati ya wasanii ambao tunaamini wakiharibu ni mara moja kwa mwaka, she is a perfectionist ana penda nywele zake ziwe nzuri, makeup on point na mavazi yawe style vizuri. Tumejuaje? scrolling down on her Instagram page.
You dont want to meet her katika red carpet, she always into something new, new designer, new stylist ndio maana ana kuwa unique mara kwa mara. Hii crystal tassel dress ilikuwa designed special for her na alivaa kwenye tuzo za Afrimma 2017 ( a little secret she revealed alilazimika kuvaa hii gauni bila ya pants ndani, well glad she managed well no wardrobe malfunction)
You don’t want to meet her as a wedding guest either, hii ilikua harusi ya Bank W & Adesua, ambayo ilikiki sana siku zilizo pita, alivaa hii stylish pink dress.
mzuri pia katika rangi she can go colorful nicely, tumpenda jinsi alivyo vaa hii satin pajama style, na platinum blonde hair.
Hasahau roots zake pia mara moja moja huwa anavaa kitenge, lets say amen kwa hii combination. tumependa alivyo match color za kimono na suruali za kitenge na hio shirt.
Taking yellow to a whole another level
striped trend
She can rock any hair from blonde, brunette, red & black.
kama ambavyo tulisema mwanzo she is a perfectionist, always nywele zake zipo well done, her makeup on point na dressed well. Tumependa jinsi ambavyo amekua styled with this killer short dress & her hair & make up.
she is our today’s crush tuambie outfit ipi imekukosha sana?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-crush-tiwa-savage/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-crush-tiwa-savage/ […]