Celine Dion ni mwanamuziki lakini pia ni mfanyabiashara ambae anatokea Canada, well sote tunamjua kutokana na nyimbo zake za slow kama My Heart Will Go On, I’m Your Angel na nyingine nyingi. Ukiongelea wakongwe katika Tasnia ya muziki kwa wenzetu huwezi kukosa kumtaja ana miaka 49 kwa sasa hivi na tunaweza kusema Celine ana tuprove kwamba age is just a number.
Ukiongelea improvement kwenye style zake (mitindo) lazima tuseme mwaka huu Celine yupo katika zile top 10 za ambao wanafanya vizuri iwe mtaani tu yaani street style au kwenye sherehe na red carpet she is a show stopper.
Tuone mapinduzi yake
Celine akiwa amevalia denim coat ( a must have kwa miaka hii) hii ilikua mwaka 1987, t-shirt nyeupe, blue leggins na socks na flat white sneakers well unaweza kuvaa pia mwaka huu ikumbukwe fashion za zamani zinarudi.
Patched Trouser (zimerudi pia na zipo kwenye trend kwa sasa) well Celine akikuona nayo sasa ana weza kukwambia Did & Done That way before you were born
Sequin Dress & Choker wengi tunazo hizi kwenye makabati yetu Celine alisha wahi kuvaa miaka hio katika red carpet ya Tuzo za Oscar
Tulishangaa Rihanna alivyo vaa ile suit kubwa mwaka huu lakini guess what? Celine alisha wahi kuvaa suit inayo fanana na ya Riri tena aliivaa mbele nyuma mwaka 1999 we must say Celine did enjoyed her youth
Hatuwezi kusema Celine hakuwepo miaka ya katikati hapo alikuwepo lakini kidogo hakufanya vizuri mpaka mwaka jana 2016 alipo rudi baada ya kutoka kwenye msiba wa mumewe and we have to say the girl is back
na hizi ndizo tulizo zipenda mwaka huu
ambacho tunaweza kusema ni respeck Celine’s name.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 43044 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-celine-dion-na-style-zake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-celine-dion-na-style-zake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-celine-dion-na-style-zake/ […]