Ukiuliza nani ni style icon au fashion killer duniani kwa sasa bila kufikiria mara mbili jina la Rihanna litatajwa, Rihanna amekuwa akifanya vizuri sana upande wa fashion kwa miaka hii ya sasa, sisi tunamuita kinyonga ana badilika kila rangi na kila kitu kina mpendeza lakini swali ni je Rihanna likuwa hivi miaka yote? Kwa wenzetu wa sasa wanamjua kupitia nyimbo zake za sasa kama Work Work Work, Bitch Better Have My Money Etc lakini je mna mjua Rihanna wa Pon De Play? Rihanna wa Take A Bow au Rihanna wa S.O.S? leo tunakuletea Rihanna toka anaanza mpaka sasa
2005 Rihanna alikuwa bado mdogo kipindi hiki kama ana miaka 18/19 hivi na kama wasichana wengine Rihanna alikuwa ana pendelea kuvaa Baggie jeans, cropped tops, hoop earrings, trainers etc Kawaida.
2006 hii alikua a sweetheart alikua ana jaribu ku win peoples hearts (we guess)
2007 hii alitoa Umbrella & sote tunajua the video alikuwa a bit crazy na ndio alikuwa anakua so hapa alikuwa ana jaribu kuwa mdada
2008 ilikuwa all about her hair huu mwaka kila mtu alikuwa ana shonea weaving ana ficha jicho moja na ilikuwa ina itwa Rihanna hair style tunaweza kusema tulianza ku fall in love na muziki wake, zikaja nywele na sasa ni Fashioon
2011 ulikuwa mwaka wetu pendwa Rihanna alirudi kuwa yeye baada ya incident yake na Chriss Brown na huu mwaka ulikuwa a dare kwake colorful hair, mavazi yalibadilika akaanza kuvaa as a woman that she is
2014 Rihanna served us life, alikuwa talk of the town katika red carpet zote alizo attend
2015 red carpets zilikuwa moto pia, tunaweza kusema kuanzia mwaka 2014 Rihanna amekua all about fashion (dressing well & daring)
2016 alianza ku earn jina la fashion icon sababu ya bold fashion zake fashion brands kufanya nae callable etc
2017 na bado haija isha tumeshaona vingi kutoka kwake zikiwemo over size outfits zilizo trend sana
Tunaweza kusema Rih’ ni true definition ya style icon unaweza kuona alivyo anza mpaka hapa alipo na jinsi alivyo badilika… tungependa kuona hii na kwa wasanii wetu Africa. Kwa style evolution ya Celine Dion bonyeza hapa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-rihanna-style-evolution/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-rihanna-style-evolution/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-evolution-rihanna-style-evolution/ […]