Tuliiona mara ya kwanza tukasema labda ni one time thing lakini kuona tena kwa mara ya pili tena ndani ya week moja ime bidi tujiulize je ni style mpya kutoka kwa Mrs West? na kama ndio Je ni Hit or Miss?
mara ya kwanza kim alionekana akiwa ame valia corset nje ya tshirt ambayo kwa mtazamo wetu haukua muonekano mzuri sana hasa hapo kifuani palivyo kaa, lakini well who cares?
Leo kim tena ameonekana akiwa kavalia Jumper na leather belt ambayo ipo kama kizibao kwa nje akiwa ame valia na lace up heels, Je ana introduce new style? na Vipi mates wetu mna ifeel au itupwe kapuni?
share na sisi mawazo yako Instagram @afroswagga Facebook @afroswagga na Twitter @afroswaggatz
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 69100 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-mpya-kutoka-kwa-kim/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-mpya-kutoka-kwa-kim/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 53641 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-mpya-kutoka-kwa-kim/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-mpya-kutoka-kwa-kim/ […]