Jokate Urban Mwegelo, wengi tunamjua kama kidoti au Jojo, Jokate ni moja kati ya watu maarufu walio tikisa sana kwa upande wa mitindo na wengi tulikuwa tunamuangalia kama inspiration yetu, well over the years style ya Jokate imebadilika mno, na tumepata maoni mengi kuhusu mionekano yake kadhaa huku wengi wakituuliza imekuwaje?
Hizi ni 2 cents zetu kutokana na mabadiliko ya style za Jokate
Kazi Mpya
Wengi tulikuwa tunamjua Jokate kama Miss, Mwanamitindo, Muimbaji, Muigizaji na sasa Jokate yupo kwenye kitengo kingine kabisa ambacho kina muhitaji kuwa na mavazi decent, tulizoea kumuona na vimini, jeans lakini sasa hivi tunamuona na suits etc na ni lazima tuone amebadilika, japo pia Jokate anahitaji kunyanyua mionekano yake kidogo hata kama ni kitengo kipya basi suit zake ziwe stylish.

Umbo Jipya
Jokate wa zamani alikuwa na mwili mdogo ambao ulikuwa una mruhusu kuvaa karibia kila aina ya mavazi, lakini kwasasa Jokate ame gain mwili kwa kiasi chake, lazima style zake zitabadilika kutoka sehemu moja kwenda nyingine tunachokiona kwake ni kwamba bado hajaukubali huu mwili mpya anajaribu kuuficha.

Kuwa Mama
Ofcourse zamani Jokate hakuwa na majukumu makubwa alikuwa na muda wa kujiangalia mwenyewe, lakini kwasasa anamajukumu ana kazi na ana mtoto inawezekana hapati muda wa kujiangalia kikamilifu, kulea si lele mama,
Je Jokate anatakiwa kufanyaje kwenye hii situation?
- Ajikubali.
- Let Go- aondoe ambavyo havimfai kwasasa
- Ajue Style Yake Anyoitaka Kwasasa
- Afanye Manunuzi Mapya
Tunadhani tumpe muda wa yeye kujipata (lol)
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…