Anaitwa Nuru Magram a.k.a Nuru The Light tulianza kumsikia mwanzoni mwa mwaka 2000, ambapo alianza kama mwanamuziki vibao vyake ambavyo vilitamba mno ni “msela” na “walimwengu”, Nuru ukiachana na muziki alifanya modelling kidogo na sasa ni fashion blogger. Nuru ni Style Muse wetu leo kama ukitembelea blog yake nuruthelite.com huwa anapost mitoko yake mara kwa mara na mara nyingi huwa anatuvutia.
Style yake ni simple & comfortable anavaa vitu ambavyo mtu yoyote anaweza kuvaa yet ni comfortable, tulicho penda kutoka kwake ni namna ambavyo anaweza kufanya basic outfit ikawa baddie kwa kuongezea accessory na kuifanya outfit inyanyuke na kuwa level nyingine, hizi ni baadhi ya zilizo tuvutia kutoka kwake
Pleated skirt ziko so in kwa sasa unaweza kuvaa na kwenda kanisani, kazini au mitoko yako ya hapa na pale yeye amechagua pleated skirt ya brown, akavalia na see through blouse nyeusi na open heels nyeusi amekamilisha mtoko wake na big rounded earrings zilizo make a statement kwenye accessories, we love this look unaweza kuvaa ukiwa unatoka na washkaji.
Shift dress with maasai touchs
All shades of pink tumependa namna alivyo vaa different shades of pink katika mtoko mmoja bila kushout au kuwa too much.
all white with a little touch of black, polka dot’s nazo zipo in kwa sasa kama una blouse yenye polka dots unaweza kutake notes kutoka kwa Nuru ya vipi unaweza kuivaa.
Color full shift dress
Flare Skirt
Je umeonaje mitindo yake? tuambie kupitia account zetu katika mitandao ya kijamii lakini pia unaweza kutembelea blog yake hapa nuruthelite.com
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 98654 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-muse-nuru-the-light/ […]