Leo ikiwa ni birthday ya mbunifu mkubwa ambae toka aanze kazi yake amesha twaa Tuzo nyingi nje na ndani ya Nchi tumeona sio mbaya tuki throw back nae kuonyesha alipo toka na alipo fikia,
Martin kama walivyo watu wengi hakuanza tu na kuwa mbunifu na akasikika ghafla hapana alipia hustles kama kuwa model nakadhalika,
Martin alitikisa miaka ya nyuma na suit zake za koti ya singlr buttons ambazo zilikuwa colorful na watu waliipenda sana hii style
Martin amevalisha watu maarufu mbali mbali akiwepo Wema Sepetu, Idris Sultan, Diamond Platnumz na list goes on
Ukiachana na kuwa mbunifu Martin pia ana penda sana ku dress up kila mara ana onekana stylish na dressed up, clean and fresh
Pia ni mpenzi wa rangi
Mwisho tunaweza kusema Happy Birthday Martin Kadinda endelea kupeperusha bendera ya Tanzania vyema katika sekta ya ubunifu
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-revolution-of-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-revolution-of-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-revolution-of-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-revolution-of-martin-kadinda/ […]