Kwa wakaka na hata wababa wafanyao kazi maofisini ambapo wahitajika kuvaa kiheshima na nadhifu kila siku, kwa baadhi yao imekuwa ngumu jinsi ya kupangilia mavazi ya kila siku na hata kuishia kuvaa vituko ndani ya ofisi.
Tutatoa tips mbalimali za kuweza kuubdilisha munekano wako ofisni na kuweza kupendeza wiki nzima.
- Kwa wakaka hakikisha una suruali zaidi ya 3. Hii inasaidia kugeuka baba wa kauka nikuvae. Na nivizuri ukiwa na cadets pamoja na suruali za vitambaa ili kuswitch muonekano wako wiki nzima.
- Kwa upande wa mashati, hakikisha una shati zaidi ya 5 and waweza switch mikono mifupi na mirefu kulingana na sheria za ofisi yako. Kuwa gentleman na nunua mshati ya cotton iwe mtumba ama dukani. Yana uimara na hayafubai mapema
- Chagua rangi zisizowaka sana kukufanya kichekesho badala ya kivutio. Kwa suruali waweza opt for nyeusi, blue,brown, maroon na grey of any shades. Kwa mashati waweza go for any cool colour ukiepuka colours kama yellow, purple na baadhi ya green unless iwe imetulia, pia changanya pia mashati yenye patterns kunogesha muonekano wako wiki nzima
- Pia kama ofisi yaruhusu ni vyema ukawa na polo tshirts ama wengi waziita form six. Hizi hupendeza ukitupia na cadet kwa chini.
- Kwa upande wa viatu have like 3 pairs black na brown ukimix an oxford pair (chaweza kuwa na kamba au la) na Chelsea boots.
Hivi vyote haviitaji gharama kubwa maana hata kwa wewe unayenunua mtumbani waweza jpatia vitu venye ubora tu. Cha msingi ni kuonekana mpya na wakupendeza ofisini. Pia usisahau na deodorant maze, maana kunukia muhimu.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-tips-za-kubadilisha-muonekano-ofisini-mwanaume/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/style-tips-za-kubadilisha-muonekano-ofisini-mwanaume/ […]