Nani ame sema skirt ni vazi ambalo lipo boring? kama yupo ni bora arudishe matamshi yake mdomoni seems like 2017 nothing is boring, kila kitu kina weza kuvaliwa na kika-make statement kama tu kitavaliwa vizuri ipasavyo, mwaka mmoja au miwili nyuma usinge weza amisha kwamba unaweza kuaa skirt na ukafanya macho yote yawe kwako, Kwanini? skirts zilikuwa hazipo extra yaani ilikuwa akilini mwetu kwamba skirt ni vazi ambalo halipo excited hata ukitembea barabarani watu wanao vaa skirts wengi ni wale wanao fanya kazi maofisini,kanisani au wanafunzi wengine wote tuna chagua magauni au suruali lakini mwaka huu ume tufumbua macho
Tuambie wazo la kwanza kama ungeiona hii skirt dukani ungewaza nini? nitaivaa wapi au wazungu huwa wanavaa vitu vya ajabu lakini Blogger Crystal Kasper ambae blog yake inaitwa newhipster , Kutoka South Africa ame tuonyesha ni vipi una weza kustyle skirt hio, kuwa makini na rangi na jinsi ya kustyle kama ambavyo ameonyesha skirt yenyewe ime make statement unacho takiwa kufanya ni kuongezea shouting color yeye amechagua njano na nyekundu
Accessorize hii ni muhimu mara kwa mara huwa tunasema yeye ameamua ku accessorize na mkanda na pochi hapa chini akiwa amevaa skirt inayo endana na ya juu lakini hii layer zake kubwa kidogo amechagua nyeusi, purple na blush pink
Huyu wa mwisho ni Chic Ama au Chicamastyle ambae blog yake inaitwa chicamastyle, Chica yeye mara zote ana penda kuwa extra yaani kuvuka mipaka anapenda anapo ingia sehemu watu wa notice kuwa ameingia kwa hio mara nyingi style zake huwa zina shout hapa akiwa amechagua floral high low layered skirt amevaa na off shouder top, ame accessorize na gold statement choker na kijipochi cha gold pia amemaliza muonekano wake na green pumps.
Mitoko hii yote unaweza kuingia nayo sehemu mbali mbali, kwenye business meetings, sherehe, kazini (kama una penda kuwa extra), brunch na marafiki etc. kusoma style talk nyingine bonyeza apa
Unaweza kuwa follow instagram
Chic Ama – @chicamastyle
Crystal Kasper -@ newhipsterstyle
Lakini pia kutufollow sisi ni @afroswagga
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/styletalk-turn-heads-with-statement-skirt/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/styletalk-turn-heads-with-statement-skirt/ […]