Siku chache zime bakia kabla ya Christmas na neno Christmas tunajua nini kina fuata ni holiday season, na ikisha kuwa holiday watu ni lazima tu party kwa kulifikiria hilo sisi yours truly afroswagga tukaamua kuwaletea outfit ideas ambazo una weza katika party utakazo alikwa msimu huu wa Christmas/holiday season
sheer top & burgundy skirt – Sheer ime kuwa trend iliyo chukua miaka miwili 2015/2016 tumeona watu wengi wakiwa wame vaa sheer dresses, top, skirt etc ili ku keep in fashion & trendy katika mapumziko yako jaribu hii style. Paka lip stick ya dark iwe black au kijani na utakuwa good to go parting
The Sequin – Sequin ni choice nzuri katika party ya usiku na ni effort less lakini save the dress and swerve us na wide legs pants za sequin, max skirt au hata ki blazer cha sequin very fashionable & chic
Velvet – Velvet dress, suit, shoes ni must have kwa mwaka huu 2016/2017 ime onekana sana kwenye run way za wabunifu mbali mbali na ukiona hivyo huwa ina maanisha kitu kimoja, the trend is here to stay. Kipindi hiki cha holiday una weza ku rock it vyovyote ila suit ni best
Red Skirt – red skirt on Christmas its a yay iwe sheer,lace au cotton, una weza kuivaa mchana au usiku
Tuxedo Dresses – kama una office cocktail party, get together una weza ku rock tuxedo dresses
LBD wit a twist – LBD ina simama kama Little Black Dress hii ni lazima kuwa nayo kwa mwanamke yoyote lakini katika party ina takiwa u stand out, vaa LBD ambayo ina nakshi ya tofauti kidogo, kama uta vaa na a dazzled shirt kama Kendall Jenner, Sequin collar au cut off shoulder kama Christine Stewart
Maoni tuandikie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…