Deconstructed fashion imerudi tena, mwaka juzi na mwaka jana katikati ilikuwepo sana tuliwaona watu maarufu kama Kendall Jenner, Rihanna, kwa Tanzania tulimuona Jokate akiwa ndani ya fashion hii, as we all know fashion come’s and go mwaka huu fashion hii imerudi tena.
Deconstructed Fashion ni kwamba mavazi yana vurugwa au kuchanganywa muonekano wake wa kawaida, inaweza kuwa kumeongezwa au kupunguzwa kitu.
Well weekend hii tunakuletea namna ambavyo unaweza ku-style deconstructed shirt yako, inspirations tumetoa kwa fashionista’s mbalimbali
Pair it with sneakers – chagua rangi ya sneaker ambayo inaendana na shirt lako kama ambavyo @adamproject, alivyofanya hii inafanya kutokuwa na rangi moja ambayo ni main color.
Strap Sandals – Kama ambavyo our girl @Lavidoz amefanya shirt yake ina stripes ambazo ni nyekundu, blue na nyeupe amechagua kuvalia na stap sandals nyekundu akamalizia na miwani na hereni kubwa.
Spice it up – kama unapenda kuonekana extra fashionable unaweza kuongezea vinogesho vingine kama ambavyo lovefromjulez amefanya kwa kuongezea a mini skirt kwa juu yenye rangi ya mustard yellow, akamalizia na viatu na bag ya nude.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…