Grandma shoes/heels ni vile viatu ambavyo mara nyingi vinavaliwa na ma-bibi, ni zile heels ambazo kisigino chake kipana kidogo na sio kirefu tunadhani ndio maana wabibi wanapenda kuvaa maana vipo comfortable, well tumeona wabunifu mbalimbali wakidebut style hii ya viatu katika collection zao, wabunifu hao ni pamoja na chanel amabe yeye ametoa hizi sling back zenye rangi ya brown na nyeusi zikiwa na visigino hivyo.
Watu wengi walisha acha kuvaa hivi viatu na kuvipa jina la grandma shoe’s lakini stylist Joujou yeye ameona hapana kwanini apate shida kwa kuvaa viatu virefu wakati anaweza kuvistyle hivi hivi na akapendeza?
Anavipenda sana hivi vyeupe ambapo tumemuona akiwa amevi-style mara nyingi kidogo, hapa akiwa amevalia na bandage dress, ame style na belt nyekundu na kofia na clutch.
Wakati hapa akiwa ameamua kuwa kisasa zaidi amevalia na buggy jeans, blazer ndefu na lace top kwa ndani huku akiwa amemalizia kwa kubeba handbag inayo endana na rangi ya viatu
Hapa tulipenda sana alivaa viatu hivi hivi na white shirt aliyo ifunga katikati na short pants ya jeans amemalizia muonekano wake na trend earrings na ame style viatu hivi na socks.
Hapa akiwa amevivaa vya rangi nyekundu akiwa ame match na blouse yake na jeans.
Well the shoes are comfortable and if worn well they can be stylish too, tuambie kwako je ungependa kuvaa au hapana?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…