Inaonekana suit imekuwa every ones favorite kwa sasa, kila mtu ana boss up na kutuonyesha namna ambavyo anaweza ku-rock suit yake, well tuna wadada wanne ambao wana majina makubwa tu wakiwa wamevalia suit, tumeona sio mbaya tukawaonyesha namna ambavyo wame zi-style next time ukitaka kuvaa suit uwafikirie as an inspiration,
Mwanamitindo Miriam Odemba tulim-spot akiwa amevalia hii green & black suit ndania livalia a sheer top to make it look more casual and less official, akiwa amemalizia muonekano wake na metallic open toe heels na miwani.
Wakati Zarina Hassan yeye tulimuona in mustard yellow suit, akiwa amevalia na shirt nyeupe na amemalizia muonekano wake na metallic oxford shoes, kama si mpenzi wa heels basi Zari shall be your inspiration on how you can slay suit in flat shoes
Wakati Mwanamitindo Flaviana Matata yeye aliamua kutupa a monochrome look, all white outfit, akiwa amevalia a white suit, ambayo ndani hakuvaa kitu, showing some skin akiwa amemalizia na gray & white kicks.
Upendo Shuma is all about boss vibes, akiwa kwenye blush pink by Kyamirwa. Amevalia off shoulder blush pink akiwa amemalizia na nude pumps na pearl necklace.
Wakati mwanadada Wema Sepetu yeye akiwa in magenta color suit, amemalizia na pull neck nyeusi na pumps nyeusi wakati akiwa ameaccessorize na necklace na saa, she mean business.
We hope umepata inspiration kati yao wa tano do let us know who inspired you.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/suit-ation-with-zari-the-bossy-lady-wema-sepetu-miriam-odemba-and-many-more/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/suit-ation-with-zari-the-bossy-lady-wema-sepetu-miriam-odemba-and-many-more/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/suit-ation-with-zari-the-bossy-lady-wema-sepetu-miriam-odemba-and-many-more/ […]