Msimu huu tumeona watu wengi maarufu kutoka ulaya wakiwa wame valia suit nyeupe lakini je suit hizi nyeupe zina umuhimu gani?
- suit nyeupe ni rahisi kuvaa katika mitoko ya aina nyingi, kazini, sherehe mbalimbali za red carpet na hata baadhi ya party
- unaonekana elegant na smart, rangi nyeupe huonyesha usafi na usmart wa mtu kwaio kuvaa suit nyeupe inaonyesha ni jinsi gani uko smart.
- Ni chaguo zuri la mitoko ya ghafla, kama mtoko wa ghafla umetokea badala ya kuwaza uvae gauni lipi na kiatu kipi suit nyeupe husaidia katika swala hilo.
- Haiitaji makorokoro mengi, ukivaa suit nyeupe unaweza kuweka staili yoyote ya nywele pia haina ulazima wa kuvaa urembo mwingi.
Zendaya
Tyrol SwiftÂ
Victoria Beckham
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/suit-nyeupe-ni-muhimu-katika-kabati-lako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/suit-nyeupe-ni-muhimu-katika-kabati-lako/ […]