Mwaka jana Rose Alphonce au Muna Love alitangaza kufanya surgery 11, na mwaka huu alirudi aki-serve bowd kwenye mitandao ya kijamii. Kwa bahati mbaya kwenye surgery yake ilianza kumletea matatizo ambapo ilibidi arudi hospital kuangaliwa zaidi.
Muna alitangaza kufanya surgery 11 ambapo ambazo alizisema na kutuonyesha ni dimples na lips nyingine alisema atatuambia, watu wengi baada ya kumuona tulifikiri ameenda kuongeza shape lakini juzi alionekana kukana kuongeza shape yake badala yake amesema alienda kuminya kiuno ( yaani kupata kiuno nyigu).

Kwenye Insta Story yake Muna alielezea kuhusu surgery hii inavyomletea matatizo ambapo hivi karibuni ilim’bidi kuacha kufanya photoshoot kutokana na tumbo lake kuanza kuvimba.


Kutokana na research mbalimbali inasemakana hii surgery ambayo ameifanya Muna ndio surgery ambayo ni risk zaidi,

lakini pia kuvimba tumbo ni moja kati ya matokeo ya surgery hio na ni kawaida kutokea.
ambacho anatakiwa kufanya sasa hivi ni
- Kupumzika vya kutosha
- Kuwa hydrated
- Eating a healthy diet low in sodium
- Elevating your lower legs
well tunamtakia uponaji mwema.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/surgery-aliyofanya-muna-love/ […]