Kunavitu vinaweza kuwa vina trend Duniani hasa katika upande wa fashion ukajiuliza why? wakati kila mtu akiwa bado haamini kuhusu jeans za kuvaa nje ndani – ndani nje seems like Multi Layered Jeans ndio ingizo lingine linalokuja kwa kasi kwa sasa,
Would You Dare To Wear Your Jeans Inside Out?
brand ya Y/project imekuwa ikileta designs za ajabu lakini watu wameonekana kuvutiwa nazo wakati kwa sisi wengine tukibaki tunajiuliza Y (why?) just like jina la brand hii
Wakati sisi tukiwa tunajiuliza why? Fashionista na wapenda fashion ambao wanapenda kuwa wa tofauti tayari wamesha anza kuonekana nazo wakiwa wamezivaa & kuziona wao wakiwa wamezistyle tunaweza kusema they don’t look that bad japo bado tuna mixed feelings nazo
Suruali hizi zinauzwa $257.50 sawa na shilingi 585,555/- za kitanzania japo unaweza kuzitengeneza mwenyewe kama una susurali ambayo huivai, kata miguu na uishonee kwenye suruali ambayo ungependa kuipa muonekano huo,
Well Kama ungependa kununua jeans hii click hapa, Lakini pia tuambie kwako wewe unaonaje hii trend ime kubariki au ipite tu kushoto?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…