Catherine Kamau -Karanja ni muigizaji na mtangazaji kutoka Kenya, Catherine alikuwa nominated na pia kushinda kama stylish female personality of the year katika Swahili Fashion Week ambayo ilifanyika tarehe 30, Nairobi Kenya.
Catherine stepped on swahili fashion week red carpet akiwa amevalia white gown detailed with feathers and silver embellishments, she looked fierce, gauni lilikuwa linaongea kila kitu alicho fanya ni kuwa minimum na accessories ambapo alivaa dropped earrings akamaliza na simple makeup na up hair do.
Well this is what we call mpanio, wakati sisi tukiwa tunaichukulia hii event kawaida wenzetu wametuonyesha how it’s done, bado tunasubiri kuona picha za wengine lakini kwa hii moja tulioiona tunaweza kusema tume take notes na somo limekolea Swahili Fashion Week ya mwaka huu Nchini this is what we would like to see kwa wale ambao mpo nominated kuchukua Tuzo.
Gown : @stylebyneomi
Makeup : @phoinabeauty
Hair styling : @corrinemuthoni
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…