Tanasha Donna ni mwanamuziki, Radio Presenter na Video Vixen kutoka Kenya ambae kwa sasa ni mpenzi wa mwanamuziki maarufu Nchini, bwana Naseeb Abdul A.K.A Diamond Platnumz.
Tanasha na Diamod wanatarajiwa kupata mtoto wao wa kwanza pamoja hivi karibuni, Tanasha ametoa picha za ujauzito wake ( Maternity photoshoot) ambapo amekuwa styled na stylist Noel Ndale.
Tanasha looked gorgeous in this photoshoot, ujauzito umempenda she is has the brown skin girl glow that beyonce is talking about. Makeup yake imekaa vyema she just nailed the shoot.

Tatizo limekuja pale ambapo ilikugundulika wameiba au ku-copy idea kwa mtu mwingine. Okay okay tunajua mtasema hakuna jipya chini ya jua lakini bado tunashikiria kusema tuwe creative kidogo, tusumbue akili.
Kuwa inspired kupo na kuwa creative kupo, huwezi kuchukua kazi ya mtu mwingine nzima nzima ukajiita stylist, yes Noel alihitaji kumshauri mteja wake na kwakua jina lake lipo kwenye line alitakuwa kumuomwambia mteja wabadilishe kidogo sio kuhamisha kazi ya mtu mwingine kama ilivyo na kusema umemstyle mteja wako.

Tanasha alitakiwa ajue kwamba jicho la wa-Tanzania na wa Kenya wanamuangalia yeye pamoja na mpenziwe, ingeleta maana zaidi kama angetoka tofauti kidogo, na tumeshazoea kuona ana copy kwa watu wengine so this is not surprising. Matumaini yetu ni kwamba hili halitojirudia tuchangamshe akili.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanasha-donna-maternity-photoshoot/ […]