Ni jumatatu nyingine tena ambayo huwa tunawaletea weekly highlights za nani amevaa nini na je amependeza au lah, na leo tunawaletea men version as wengi huwa mnalalamika hatuweki sana habari za wanaume, well tunaweza kusema tumeona slayage ya hatari kutoka kwa watu maarufu wa kiume kutoka Tanzania, female celebrities must take notes
Juma Jux came through with all black attire, amemaliza muonekano wake na layered necklace’s, saa, kofia na miwani, this outfit is casual and stylish, unaweza kuona efforts za yeye ku-upgrade muonekano wake usiwe boring.
Mcheza kikapu Hasheem yeye alisheherekea kuzaliwa kwake akiwa amevalia hii dark blue suit, ambayo alivalia black t-shirt kwa ndani na akamaliza na white kicks huku akiwa amebeba side bag na scarf, well we love this look on him.
Mbunifu Martin Kadinda yeye alivaa stripes shirt ambayo imetoka kwenye collection yake mpya, amemalizia na suruali nyeusi na viatu vya burgundy vinavyo match na moja ya rangi iliyopo katika shirt lake.
Rapper Darassa yeye amevaa hii suti ya gray, akiwa amemalizia na polkadot red tie moccasin nyeusi na miwani, Darassa like never before.
Well Afro mates look ipi kati ya hizi ambazo umeipenda?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanian-men-came-through-with-the-slayage/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanian-men-came-through-with-the-slayage/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanian-men-came-through-with-the-slayage/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanian-men-came-through-with-the-slayage/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanian-men-came-through-with-the-slayage/ […]