Tanzanite Womens Forum & Lunch imefanyika jumamosi ya tarehe 9, ambapo watu maaarufu mbalimbali walihudhuria event hii, na sisi tulichukua kalamu yetu kuandikia nini una paswa kuvaa katika event hii, na leo tupo hapa kuwaletea report nini kilitokea na nani aliitendea haki blue carpet ya Tanzanite Womens Forum & Lunch
Pata Kujua Kuhusu Tanzanite Womens Forum & Lunch Na Nini Cha Kuvaa
Tuanze na Blue Carpet, wageni waalikwa wengi walijitahidi wamevaa kuendana na event lakini pia theme ya rangi ilizingatiwa
Upendo Shuma A.K.A Lavie makeup yeye ali-attend event hii in off the shoulder blush pink suit, tumependa namna coat ya suit hii imeonyesha curves zake ( a sexyie suit) akamalizia na nude pumps, bob cut hair style na simple makeup, she looked like a boss.
Fashion Influencer & Entrepreneur Juddy Fashion yeye alivaa, white palazzo na white blouse na statement green and white stripes coat, akiwa amemalizia na clear heels, we loved that aliamua ku rock her natural hair akamaliza na bold red lipstick.
Model & Now an Entrepreneur Gyver Meena yeye alihudhuria event hii akiwa in this stylish little black dress, iliyo mkaa vizuri kabisa, sleek side hair style akamaliza na white embellished pumps, if this is not a version of miss independent we dont know what is.
Wakati Jacqueline Mengi na Faraja Nyalandu walitu serve best friend goals in yellow and black outfis.
Nini kilitokea? Kama ambavyo tulifanya interview na Mbunifu Khadija Mwanamboka, kulikuwa na fashion show, muziki lakini pia kulikuwa na elimu ya finance savings, self branding na femenism,
Tulichopenda katika event hii ni
- kukusanyaji fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wa JUWADA kusoma ujuzi mbalimbali
- Kutolewa kwa elimu kuhusu finance savings, self branding na femenism, kusikia namna ambavyo wanawake wengine wameweza kuthubutu na kufika walipo fika
- kuwapa wabunifu wachanga na wa zamani nafasi ya kushow case kazi zao, as we all know majukwaa ya mitindo ni machache Tanzania event kama hizi zikitokea na kutoa opportunity hizi ni kitu kizuri.
- Kumrudisha mwanamitindo mkongwe Miriam Odemba na kuwaonyesha wanamitindo wadogo how to own the runway, tunajua wanamitindo wengi Tanzania bado hawana kiwango kikubwa cha cat walk, we have to say Miriam didn’t play on that stage, she slayed.
- Lakini pia kuwapa nafasi wanamitindo wadogo kuonyesha uwezo wao jukwaani.
Few Pieces ambazo zilikuwa showcased siku hio
Hii gauni ilibuniwa na mbunifu kutoka uturuki Fouad Sarkis Official, Wakati the beaded necklace inatoka kwa wabunifu Nyumbani Dadaz Arusha, ambayo ilifanyiwa mnada na kununuliwa papo hapo
Gauni hii ni kutoka kwa mbunifu wa hapa hapa Tanzania Kattycollection, na feather necklace ni kutoka kwa Uhuru Wings, necklace hii ilipigwa mnada na kununuliwa papo hapo kwa shilingi 2,100,000/-
Wabunifu wengine walionyesha collection zao ni pamoja na
Malika Designer piece
Irada Styles Number
Asya Khamsin
zaidi_africa
Na wengine wengi kwa kifupi the event was educational, fashionable & enjoyable.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanite-womens-forum-lunch-2019/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 36054 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanite-womens-forum-lunch-2019/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 87569 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanite-womens-forum-lunch-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tanzanite-womens-forum-lunch-2019/ […]