Niliiona hii post ya haya maneno kutoka kwa moja ya my favorite youtuber & Stylist Lauren Mesiah ambapo alisema “The Problem Is Not Your Body But How You Think Of It”, hii post iliniingia na nikasema siku moja nitaandikia kuhusu hili swala sababu lipo kwa watu wengi mno.
Mara nyingi tunapo-post kuhusu mavazi au mishono katika mitandao ya kijamii, baadhi ya watu husema “siwezi kuvaa hivyo sina mguu”, “na hili tumbo nitapeleka wapi?” Mara mikono yangu minene etc etc.
Hii mindset inaturudisha nyuma sana na ndio maana wengi hatuthubutu kufanya vitu kwa sababu ya kufikiri hiko kitu hakiwezekani, lakini kumbe tatizo halipo kwenye mwili wako ila ni mindset yako na hapa hatumaanishi mtu kama Ben Pol aingie kwenye suit ya Lemutuz hapana tunachosema you can modify it and make it fit your body type.

Kuna msemo ambao niliusikia na kuupenda pia unasema “Mungu ameshamaliza kazi yake hapo” Ni kweli Mungu ameshamaliza kuumba sasa ukisema siwezi kuvaa hivi ninatumbo, siwezi kuvaa hizi sina mguu labda tukuulize “Unadhani lini utapata mguu wa kuvalia hilovazi?” mara nyingi huwa tunashauri watu kupitia dm hasa wale wanaolalamikia maumbo yao kuwa na confidence na maumbo yao. Na kujaribu kufanya mavazi yawafit kutokana na maumbo yao.
Confidence & loving yourself is the key.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tatizo-si-mwili-wako-bali-ni-fikra-zako-juu-ya-mwili-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tatizo-si-mwili-wako-bali-ni-fikra-zako-juu-ya-mwili-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tatizo-si-mwili-wako-bali-ni-fikra-zako-juu-ya-mwili-wako/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 50363 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tatizo-si-mwili-wako-bali-ni-fikra-zako-juu-ya-mwili-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tatizo-si-mwili-wako-bali-ni-fikra-zako-juu-ya-mwili-wako/ […]