Tausi Likokola ni International Model lakini anae tokea hapa hapa kwetu Tanzania, Tausi amesha wahi kufanya kazi na wabunifu wakubwa kama Gucci, Escada, Tommy Hilfiger, Christian Dior, Issey Miyake na wengine wengi, ukiachana na uana mitindo Tausi ana NGO yake Tausi AIDS Fund, ambayo ina supports prevention and awareness programs against HIV/AIDS, Lakini pia Tausi ni mjasiriamali ana kampuni yake ya nywele inayoitwa
Tausi Dream na pia ana manukato yake
Tausi tuna weza kusema ni fahari ya Tanzania, tumekuwa tukipiga kelele kwa muda mrefu kwamba watu maarufu wengi hawa support vya nyumbani lakini kwa Tausi ni tofauti kabisa tuna weza kusema asilimia nyingi ya mavazi yake yanatoka kwa wabunifu kutoka Tanzania na una weza kuwa surprised au kukataa kwamba haya mavazi haya buniwa hapa Tanzania akiyavaa lakini ukweli ni kwamba yana toka hapa hapa bongo na kwa wabunifu hawa hawa tunao wajua na wengine kuwa dharau
Tausi akiwa amevalia mavazi kutoka kwa mbunifu Samuel Zebedayo, una weza kuamini how she pull them off ni kama kanunua mbele
Tausi akiwa amevalia gauni kutoka kwa Kiki Fashion una weza kuona kwamba wabunifu wetu wana fanya kazi ila ni sisi kutokuwa na moyo wa kuwaungisha
Tausi akiwa amevalia gauni kutoka kwa Ally Rehmtullah na chini akiwa ame beba bag kutoka kwa mbunifu huyu huyu Ally
Tausi akiwa amevalia gauni kutoka kwa mbunifu Husna Tandika wakati viatu vyake akiwa ame muungisha Tanzania Stylish Blogger LAvidoz
Tausi akiwa amevalia Vazi kutoka kwa mbunifu Siacouture na Viatu kutoka kwa Lavidoz
Tulicho kuwa tunajaribu kusema au kuonyesha ni kwamba tukiamua tuna weza Tausi kaamua na sisi wengine tufuate kwa kumuangalia Tausi tu tuna weza kusema wabunifu wetu wana pieces nzuri tu katika collection zao ni sisi jinsi ya kuzi style maana wengi tuna sema hakuna wabunifu Tanzania lakini muangalie Tausi Je unaamini hiyo mavazi yame buniwa hapa hapa Tanzania? Chagua Cha Nyumbani, Support wabunifu wetu
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tausi-likokola-ni-maana-tosha-ya-support-cha-nyumbani/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tausi-likokola-ni-maana-tosha-ya-support-cha-nyumbani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tausi-likokola-ni-maana-tosha-ya-support-cha-nyumbani/ […]