Kama Fashion Blogger wengine we love us some good designers, designer ambae ana buni wearable collection, good patterns na ambae yupo humble. Hapa Tanzania kwetu wabunifu wengi ni wazuri kuanzia ubunifu mpaka tabia,Tukiwa tuna elekea katika Swahili Fashion Week 2017 tumeona tuwaletee collection ambazo sisi zilituvutia miaka kadhaa nyuma na leo tupo na m’bunifu Lucky Sabas A.K.A Lucky Creations na collection zake alizo debut katika jukwaa la swahili fashion week 2014-2015.
Kwanini Collection Hizi? Ni kwa sababu ya jinsi Lucky aalivyo zibuni Fashion fowards, pattern zipo vizuri, finishing nzuri lakini pia zinaweza kuvalika na yoyote katika nyakati mbalimbali na sehemu mbalimbali
2014 Collection yake ilikua black na a little bit of silver, as we all know every woman deserve au lazima awe na a little black dress kwenye kabati lake, hii ni kutokana na black fit’s every where na ukiwa hujui uvae nini always go for a black outfit it never disappoint unless uwe umeivaa na accessories hazieleweki.
This peplum dresses is perfect kwa mitoko ya jioni, tumependa jinsi alivyo ongezea hio silver color hapo kiunoni, high slit to show off some legs, kama tulivyo sema Lucky she is fashion forward mwaka jana hii design ilitamba sana ya mpasuo pembeni lakini yeye alisha liona hili toka 2014
This two piece number is every thing, a little crop top ya silver na black with a long max skirt hii nayo kila msichana ana ihitaji kwenye kabati lake
2015 Lucky akakua na kuamua kuleta colorful collection, we loved every piece in this collection, ni collection ambayo inaweza kuvalika kwa miaka kadhaa mbele
The floral off shoulder dress, tumeona off shoulder zilivyo trend mwaka huu well lucky did that kutoka 2015, this dress ina tukumbusha aliyo ivaa Rihanna kwenye wimbo wake na Dj Khaleed Wild Thoughts
Off shoulder Max Dress hii ni kwa kila aina ya msichana uwe mwembamba au mnene you can rock this
Burgundy
This pattern is so nice ni kama batiki, its real nice na mishono yake pia ilikua mizuri
Na huyu ndio Lucky Creations, we can’t wait kuona mwaka huu ana tuletea nini.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-lucky-creations-collections-on-swahili-fashion-week-2014-2015/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-lucky-creations-collections-on-swahili-fashion-week-2014-2015/ […]