Leo tuna rudi nyuma to mwaka jana, yes mwaka jana ulikuwa moto na ikiwa tume fikia mwezi mmoja toka tuingie 2017 tumeona tu throw back na zile trend pendwa zilizo hit 2016.
Velvet – Velvet ili make way yake mwaka 2016 mwishoni lakini ili hit mno kila fashion blogger, fashionista au mtu maarufu alikuwa akionekana ame rock hii trend na seriously tuna weza kusema mwaka 2017 we gonna see more of this trend
Gigi Hadid akiwa ame valia Velvet boots
Kylie Jenner on Velvet tuxedo dress
Victotia Beckham in Velvet pleated skirt
The slip-on dress – tulisema ooh this is crazy mtu ata tembeaje na gauni la kulalia tukiwa hatujui wakati wabunifu wana buni walikuwa na maana yao, well sleep on dresses zili hit mno 2016, kila mtu maarufu alivaa and we have to admit zime onekana kuwa comfortable na kumpendeza kila mtu kama tu akiwa ame ivaa inavyo takiwa ilikuwa a perfect trend for summer.
The backpack – who would ever thought back pack zinge kuwa trend? designers of course, from Burberry Rucksack to other designers walibuni hizi back pack na zikawa trend 2016, ilikuwa the coolest accessory mwaka jana as una weza ku fit in vitu vingi kuliko kwenye mkoba
Statement furs – nani asiye taka kuonekana stylish katika winter? hakuna right? Tanzania hivi vipindi hatunaga ila huko kwa wenzetu vipo basi mwaka jana Statement furs zilitamba sana kipindi cha baridi kutoka kwa Rihanna, Lady Gaga, Kendall Jenner na wengine wengi
Related posts
8 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 5162 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 190 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbt-trend-zilizo-pendwa-2016/ […]