Khadija Mwanamboka ni mwanamitindo anae tokea hapa nchini Tanzania, ambapo alianza kubuni mavazi yake na mama yake kabla hajaanza kubuni kwa ajili ya watu wengine, 1996 akiwa na miaka 18 Khadija alipata nafasi ya kuonyesha mavazi yake katika ukumbi wa diamond jubilee. 1998 Khadija alibuni vazi la Basilisa Mwanukuzi ambae aliweza kutwaa taji la Miss Tanzania kwa mwaka huo. Kwa sasa Khadija ana miliki kampuni ya chakula iitwayo Vitu Vya Khadija. Tanzania Tunajivunia kuwa na Khadija ni mwanamke shupavu na anae ipeperusha bendera ya nchi yetu vizuri hasa katika upande wa mitindo.
Baadhi ya mavazi yaliyo buniwa na Bi.Khadija Mwanamboka
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/tbtiika-na-khadija-mwanamboka/ […]