Mwanamuziki Tems kutoka Nigeria aliwakilisha Nchi yake pamoja na Africa kwaujumla katika Tuzo za Oscars 2023, Tems alikuwa nominated katika tuzo hizo kupitia wimbo alioufanya na mwanamuziki Rihanna “lift me up” ambao ulitumika katika movie ya Black Panther.
Tems alihudhuria Tuzo hizo akiwa amevalia white dress kutoka kwa mbunifu lever couture gauni hilo lilikuwa na extravaganza head piece ambayo kwenye red carpet ilikuwa nzuri yaani ali-make statement

Tatizo lilikuja baada ya picha zake zilipokuja kutoka akiwa ndani ya Tuzo hizo ambapo watu wa nyuma yake walionekana kushindwa kuona kinachoendelea mbele kutokana na head piece yake kuwazuia kuona mbele

Lakini kuna wale waliomtetea na kusema kwamba yeye sio kwanza kuvaa nguo ya aina hizi, Lady Gaga pia alishawahi ku-attend tuzo hizo akiwa amevalia head piece ndefu kabisa lakini pia wakumbuke huku Africa viremba ni jadi yetu lol

Anyways Afromates tupeni maoni yenu katika hili.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…