Kama kuna kitu wote tunaweza kukubaliana nacho ni kwamba the African Girls are making waves on the fashion industry, Fahyma (fahvanny) na Tems ni moja kati ya watu maarufu kutoka Bara hili wenye mapenzi na fashion.
Mwishoni mwa mwaka jana tulimuona mwanamuziki Tems akiwa amevalia vazi hili la lace catsuit lenye rangi ya blue akiwa ana perfome Ghana katika Global Citizen Concert, Tems alivaa catsuit yake na silk mini skirt yenye shiny scalp,amemalizia muonekano wake na silver laceup heels, miwani pamoja na bracelet akimalizia na subtle makeup look, fluttering lashes, ombre matte lips paired perfectly with face-framing fringe and long wavy hair.


Fahyma tulimuona akiwa ameenda kum-support Nandy yeye akiwa amevalia vazi linalo fanana na la Tems ila ya kwake ilikuwa full white, lace white top, silk mini skirt yenye shiny scalp, amemalizia muonekano wake na white thigh high boots, miwani huku kichwani akiwa na long braids na simple makeup, big hoop earrings na rings

Hatukuweza kuchagua nani ame rock the outfit better, so tumeleta hapa tupate maoni yenu mnadhani nani ame style hili vazi vyema zaidi Fahyma au Tems?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
coffee shop jazz
coffee shop jazz