Mara nyingi huwa tukiona mavazi ya watu maarufu kuna maswali tunajiuliza ikiwepo akimaliza kulivaa lile vazi ana lifanyia nini? Lakini pia huwa wanatembeaje na hayo mavazi ikiwa vazi lime m’bana sana. Mwaka jana tuliona Kim Kardashian alivyokuwa anapata shida kupanda ngazi katika Milan Fashion Week ikam’bidi aruke kama Kangaroo.
Imeonekana mwaka huu mwanadada Teyana Taylor nae amepitia shida hio baada ya kuonekana akiruka katika ngazi za Met Gala 2023, Teyana alivalia cut out hips black-and-white tweed design by Thom Brown.
Ukiachana na kituko hiki inasemekana Teyana pia alibeba msosi na kuingia nao katika event hii, anyways tuambie Je uko tayari ku-sacrifice comfortability for fashion?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…