The People’s Choice Awards 2017 imefanyika Microsoft Theater jana January 18, 2017 mjini Los Angeles, California. Hakuna muda ma fashionista tunakuwaga macho kodo kama muda wa red carpet, Katika hii red carpet tuna tatu bora zetu ambapo wa kwanza ni
Jennifer Lopez she look gorgeous rocking Reem Acra gown
Blake Lively never disappoints tumependa hii fringe little dress kutoka kwa mbunifu Elie Saab
Ruby Rose akiwa amevalia orange suit kutoka kwa Veronica Beard, the bold make up is fire
hizo ndizo tatu bora zetu na hawa ni wengine walio kuwepo katika red carpet hii
Jamie Chung in Martha Medeiros
Pryinka Chopra
Gwen Stephan
Cheryl Burke
Andrea Navedo
Yara Shahidi
Hellen na mkewe well Hellen ndio ame beba tuzo nyingi zaidi
Sofia Vergara
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 40445 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-2017-peoples-choice-awards-red-carpet/ […]