Kama utakuwa umenotice suit hasa kwa wanawake ina trend sana mwaka huu, na hasa colorful suit. Lakini pia ni jinsi ambavyo koti la suit linavyo kuwa accessorized na belt. Tumependa style hii hasa kutokana na mambo makubwa matatu
- koti la suit huwa halifit vizuri kiunoni hii trend inasaidia kukupa shape
- unaonekana stylish
- ordinary is boring spice it up.
- Fashion Blogger Jacqueline Albert Terry Akituonyesha Namna 2 Za Kustyle Blazer
Tuachane na mazoea kwamba suit inavyo valiwa ndio hivyo hivyo sasa hivi mambo ni kuwa extra tu, well tumeona fashionista’s mbalimbali wakiwa wamejaribu kuvalia hii trend na belt sio lazima iwe belt unaweza kuvaa hata a fanny pack alimradi tu umefunga kitu kiunoni
Kwetu Tanzania tumeona fashionista’s kadhaa wakiwa wamevalia trend hii
fashion blogger Jacqueline Albert wa Lehahaute yeye anapenda sana kuvaa hii style lakini tuliyoipenda sana ni hii ambayo alivaa short denim skirt, a long blazer ambayo aliifunga na belt akavaa na cross body bag na kumalizia na red open heels.
Lakini tuliiona pia kwa mbunifu Mgece Cici ambae yeye alitumia the trending belt off white industrial belt ambapo alivaa na plaid blazer na black leegins akamalizia na pumps na black handbag.
Lakini pia tulimuona Fashionista Chanel Files akiwa amevaa style hii ambapo yeye aliistyle mara mbili lakini yeye alitumia fanny pack kuifunga koti lake hili ambapo mara ya kwanza alivaa a denim min skirt na white tee juu akatupia pink blazer ambayo alivalia na gucci fanny pack akamalizia na knee length boots na miwani.
=
Mara ya pili aliistyle na full suit akarudia viatu na t-shirt this is the art of style, ni namna unaweza kuvaa kitu kimoja mara nyingi kwa namna tofauti tofauti.
Kuna namna nyingi una weza kustyle trend hii inategemea na matakwa yako baadhi ya fashionista tulio waona na hii style
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-belted-suit-blazer-is-taking-over/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-belted-suit-blazer-is-taking-over/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-belted-suit-blazer-is-taking-over/ […]