Ukitajiwa jina Hamisa Mobetto leo unaweza kumtambua haraka sana kutokana na habari zake, lakini Hamisa ametoka mbali mpaka kufika hapa halipo. Hamisa ni mwanamitindo ambae amezaliwa 1994 Mwanza,Tanzania alianza career yake mwaka 2010 ambapoa alishinda event iliyoitwa miss XXL iliyo andiliwa na XXL team kutoka Clouds Media Group, 2011 Hamisa alishiriki Miss India Ocean ambapo alishinda na kuwa Miss India Ocean no:2, mwaka huo huo Hamisa alishika namba mbili katika Miss Kinondoni ambapo alifanikiwa kushiriki Miss Tanzania 2011. 2012 Hamisa alirudina kushiriki Miss universityAfrica na kufanikiwa kuingia Top 10
uanzia hapo safari yake ya uanamitindo ikaanza. Tunajua Model na fashion zinaenda mkono kwa mkono na Hamisa ni moja kati ya wasichana wanao julikana kwa kuslay hapa nchini kwetu hizi ni baadhi tu ya tulizo zipata na maoni yetu
Growing up tulikua tunamjua Hamisa kutokana na sexy body yake ya kibantu na enzi hizo alikua anatumika sana kwenye photo shoot za lingerie na vitovu nje, her body was and still is a bomb
Hamisa ana tumika sana na brand mbali mbali katika kutangaza mavazi yao lakini pia ni slayer in real life japo pia makosa huwa hayakosekani, Kama kuna hizi mbili ambazo kwetu tume ziona kama disappointment
Hii alienda Uganda kwenye Abryanz Style and Fashion Awards mwaka jana tulipenda gauni lakini jinsi ambavyo ame liaccessory kwetu ilikua hapana the shoes na clutch was off na nywele ni kawaida sana
Hapa japo hakuwa sehemu ya mkusanyiko wa watu ila aliipost mwenyewe kwetu viatu vipo awkward lakini ilikuwa ni zamani kidogo ina sameheka
Hizi ni zile ambazo zilituvutia hasa back then mpaka sasa
Casual pink
Burgundy, White & Nude number
Double Denim Never Looked This Better
Black & White
Red carpeting
Hamisa ni mama wa watoto wawili & her pregnancy photo shoots huwa ni kali mno
Matumaini yetu ume enjoy kumjua Hamisa na mikato yake toka zamani, tuambie ungependa tumuweke nani week ijayo?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-of-hamisa-mobetto-through-years/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-of-hamisa-mobetto-through-years/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-of-hamisa-mobetto-through-years/ […]