Tumeanza week nyingine tena na tuna review week iliyopita nani alipendeza na nani hakupendeza, week ilikuwa na mambo mengi mengi yaliyo hitaji watu ku-slay lakini pia kuna wale ambao walikuwa na mitoko yao binafsi wakaamua kutuonyesha namna walivyo vaa.
Hawa ndio waliotuvutia week hii
Hamisa Mobetto looked like a snack in green dress, tumependa makeup, the dress na viatu, well styled & proper japo Hamisa anahitaji kutafuta hair stylist hii nywele tumeshaichoka na namna ambavyo ana bandikwa ni outdated
Irene Uwoya in floral mini dress, tumependa jinsi ambavyo amejaribu kitu kingine na kuwa colorful, the shoes on point.
Jacqueline Mengi amejaribu kitu cha tofauti ambacho tumependa mno, alikuwa katika Dubai International Fashion Week na alivaa a two pattern outfit we loved the look its okay to change sometimes
Nasreen Karim nae alipendeza na hii pink tuxedo dress, ambayo alivalia na pink fur heels.
Kwa wanaume stylist Rio Paul alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na alivaa hii blue two piece outfit kutoka kwa mbunifu the Agness
Ambao wame tu dis-appoint na tunatamani sana wangepata stylist ni Ray Vanny Na Faymah, too much is going on sometimes less is more, tunatamani wange loosen up a lil bit na kujaribu ku-style better huu mtoko for a boat party this was a failure
Tuambie wewe kwako nani amekuvutia zaidi?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 77759 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-outfits-of-the-week/ […]