Faiza Ally has been making waves lately, kila red carpet anayo attend anaonekana kuvutia anavaa anapendeza lakini pia anaenda na theme, lakini tunaweza kusema Faiza had a long way to go hadi kufikia hapa. She started this journey from the bottom kwa kweli kipindi cha nyuma amekuwa akiattend kwenye hafla akiwa kama kituko yaani lazima awepo kwenye worse dressed list, but ame make sure anafika on top & we are here for it, anatupa matumaini siku moja na hawa wengine watajifunza well tuone mionekano yake ambayo ili tu-disappointing na ambayo imetufairaisha.
Tuanze na hii ya mwaka 2015, Faiza alihudhuria Kilimanjaro Music Awards in this outfit, well kila mtu aliongelea hili vazi na bado tunaliongelea tunadhani ubunifu ulikuwa on point lakini execution yake ikakosewa na kufanya aonekane a messy au kituko kwenye red carpet hio.
Faiza alihudhuria katika Zari all white party mwaka 2015 akiwa kwenye hii white shirt dress, haikuwa that worse lakini pia haikuwa wow just regular japo kwetu sisi tunaona this is not a red carpet look ambayo tungechagua kufika nayo kwenye hafla hio.
2016 Faiza Ally alifika kwenye red carpet ya The Black Tie’ ya Wema Sepetu akiwa amevalia hii min red dress, bado alikuwa ana struggle na kuwa katika list ya waliopendeza bado hapa alikuwa regular na alikuwa hajui kutofautisha kati ya part za kawaida na party ambayo unafika red carpet kwanza.
Lakini huu mwaka 2018 Faiza amekuwa akitupa looks after look, red carpet appropriate in so many levels the growth is real, tunapenda na tuna hope aendelee kukua zaidi na zaidi katika mionekano yake ya red carpets, she is making waves na kuwaonyesha watu how its done.
Faiza alikuwa best dressed wetu katika Viking’s night alikuwa perfect for the event, nguo ilikuwa comfortable, makeup & hair on point she slayed
Faiza Ally in single mothers events, she brought the sexiness in classic way love it, the color pop trouser was a statement.
Lakini pia you can count on her katika ku-make statement.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-red-carpet-looks-of-faiza-ally-over-the-years/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worse-red-carpet-looks-of-faiza-ally-over-the-years/ […]