Tukio kubwa lililo tokea Africa weekend hii ni Vodafone Ghana Music Awards, Ambazo hizi ni tuzo huwazinatolewa kwa wasanii wa muziki. Watu maarufu wengi walihudhuria wakiwepo wasanii wa muziki, waigizaji na wengineo. Well lets see their looks on red carpet shall we?
Actress & TV Personality Selorm Galley Fiawoo, alivaa green top & skirt kutoka kwa sima_brew tumependa ame dare kuvaa rangi kwenye red carpet, outfit ime m-fit vizuri. Good choice of shoes & make up. Well Selly has always been a slayer.
Host wa siku hii alikuwa Tv Personality Berla Addardey ambae alivaa 3 outfits katika tatu zilizo tuvutia sana ni hizi mbili.
This Gorgeous fringle white dress, went perfect well with her body. She gave us some type of expensive chandelier. Nywele zimebanwa vizuri na makeup on point.
Gauni la pili tulilo lipenda ni hili la rangi ya baby yellow, that bold burgundy lipstick and the smile. who can deny that?
Muigizaji Kafui Danku looked like a chocolate cake in this black dress. makeup & accessories on point.
Kwa upande wa wanaume tulimpenda huyu DJ BREEZY alivaa suit nyekundu hakuvaa shati ndani, na raba nyeupe so stylish katukumbusha Wiz Khalifa.
Russell Edem Avornyo pia alipendeza na color blocking suit yake, tumependa jinsi ambavyo ameweza kuufit vyema mwili wake kwenye suit bila kuonekana juu mdogo chini mkubwa.
Walikuwepo wengi sana lakini hawa ndio tuliwapenda zaidi, na mionekano yao well tunajua huwaga hakukosekani na wale ambao hawajui wanacho takiwa kufanya.
Kama ulisha wahi kusikia wimbo unaitwa one corner huyu ndio muimbaji wake anaitwa Patapa, ali show up katika event hii na over sized blue suit yake.
Huyu ni mwanamuziki nae anatoka Ghana freda rhymzgh tunadhani alikuwa hiyu ni moja ya victim wa online shopping alikuwa ameipata hii nguo late na hakuwa na other option, it does look like a fashion nova fit that doesn’t fit.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-and-worst-look-at-vodafone-ghana-music-awards/ […]