Huko kwa wenzetu ni kawaida kwa wao kupeana tuzo ma red carpet kila siku, jana kulikuwa na event ambayo imepewa jina la Black Girls Rock hii huwa wanapewa tuzo wanawake weusi wanaofana vizuri katika sekta mbalimbali. Watu maarufu mbalimbali walihudhuria na kama kawaida ya Afroswagga jicho likawa katika red carpet kujua nani amevaa nini na je ametukonga moyo au kauchefua?
Tuanze na waliokonga moyo
- Janet Jackson
alihudhuria katika red carpet hii akiwa amevalia Christian Siriano FW18 blue & black Cinderella dress, kama unamjua Janet lazima utajua her style is so different mara nyingi anapenda kuwa extra na mitindo yake, kwenye mitandao ya kijamii wameongelea sana kuhusu her hair lakini sisi tumependa kitu cha tofauti.
- Naomi Campbell
In deep V orange dress we love the dress on her japo tunajua she could have done better lakini she looks better than most of the celebrities ambao walihudhuria hafla hii, she is onbangs wavy bob weave she went minimum on her makeup & accessories na kuliachia gauni liongee.
- Ciara
Wearing Balmain dress we would like it short without the tail but well that us not Ciara, makeup na nywele imebeba muonekano but tungeipenda zaidi kama zingebanwa as usual show the neck & face with all the ruffle going on the hair ingebanwa ku-balance.
- Millen Magese
Akiwa amevalia eseazenabor outfit ambayo tumeipenda sana ni white & silver amemaliza na pumps za silver, we love the hair style but not the makeup.
Ambao kidogo tumeona wameharibu ni hawa hapa
- Mary J. Blige
Akiwa amevalia Roberto Cavalli dress, this dress is not flattering & kuna mambo mengi yanaendelea tumependa kwamba amebana nywele na makeup simple bado the dress inaonekana too busy, with the turtle neck, pleated, slit na hapo kifuani its just alot going on for a red carpet look.
- Queen Latifa
Yeye alikuwa all about the graduation gown. we just love the hair on her look the inside outfit & outside graduation gown isn’t working to us hasa kwenye red carpet issa no.
tuambie wewe umeona nani amependeza na nani amekosea?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-worst-red-carpet-look-at-the-black-girls-rock-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-best-worst-red-carpet-look-at-the-black-girls-rock-awards/ […]
morning jazz
morning jazz