A blazer ni moja ya essentials ambazo hutakiwi kukosa katika kabati lako, lakini miaka ya nyuma wengi tulikuwa tunaichukulia official, thanks to fashionista’s sasa tunajua unaweza kuvaa blazer kwa namna tofauti hata ukitaka kuwa casual.
Mwaka huu Blazer imekuwa ikionekana mara nyingi na kuvaliwa kwa namna tofauti, its an item every fashionista own’s na anajaribu kuivaa kwa aina yake, well this is our favorite biggest trend kwa mwaka huu, Kwanini? kwa sababu sio kila siku unapata mialiko ya business uweze kuivaa unakuta blazer yako imekaa tu kwenye kabati hadi inapata harufu ya kabati, we can now take it out and dress it any how we feel like.
Unaweza kuvaa blazer tupu hapa utahitaji a blazer dress ambayo hii kidogo huwa ndefu hadi mapajani, unaweza kuistyle upendavyo kama na boots kama fashionista layllah alivyo fanya, how chic is this outfit? slaying effortless bila kutumia nguvu.
Its not t-shirt na jeans anymore ni blazer na jeans, we can wear this outfit all weekend and never gets bored of it, unaweza kuvaa blazer yako na jeans ukaongezea na accessories nyingine kama miwani, hereni, mikufu etc, unaweza kuvaa hivi ukiwa na mitoko na marafiki kama brunch etc.
Blazer & Track pant hii ni trend nyingine kubwa kwa sasa & we are loving the mixture of business wear & athlete, take your blazer out the office & track pants out the gym combine them together & give us the buss-casual look… mseto.
Who needs a denim trouser if you can wear a denim short?
Sio lazima uvae na viatu virefu kama ungependa muonekano wako uwe casual zaidi unaweza kuvaa blazer yako na chunky ( sneakers) au flat sandals au flat shoes ni jinsi ya wewe utavyo weza kustyle na kuwa comfortable.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…