The complete pieces ni vile vipande vinavyo saidia kukamilisha muonekano wako. Vitu kama Blazer (koti), Belt (makanda), Scarf, Statement accessories (mikufu, hereni etc) hivi vitu ndivyo husaidia kufanya muonekano wako uwe unaonekana ume kuwa putted together yaani ni kama vina polish muonekano
Topper– hivi ni vitupio vya juu yaani koti, cardigans, vest,jackets nk, its fun how una weza kufanya muonekano wako kubadilika kutoka A kwenda B kwa kuongezea tu koti, cardigan au jacket. Koti mara nyingi huvaliwa official japo hata kwenye mitoko pia una weza ku style ukapendeza. Cardigans zina trend kwa sasa ni nzuri kwa sababu ni nyepesi nayo pia una weza kuistyle kutokana na mtoko wako.
Scarf – vazi lina weza kuonekana boring pale unapo vaa bila ya scarf lakini uka shangaa unapo ongezea scarf linavyo kuja kuleta maana, wengi wetu hatutumii scarf hasa nchi za Africa lakini ni moja kati ya urembo ambao una weza kubadilisha muonekano wako kabisa.
Statement Chain (mkufu au hereni) – hii imeonekana kuwa vutia wengi hata huku kwetu maana wadada wa sasa wakivaa lazima utakuta ana mkufu mkubwaa shingoni, yes ni kitu kizuri sababu mkufu au hereni nazo ni completer pieces ambazo zina weza kuutoa muonekano wako sehemu moja na kuupekeleka sehemu nyingine
Belt (mkanda) – Makanda ni game changer una weza kuvaa mwembamba au mnene na ukabadilisha muonekano wako actually mkanda ni our favorite complete piece ukiachana na kubadilisha muonekano pia ina polish na kuonyesha shape yako
Hope umejifunza kitu
wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Facebook – afroswaggamag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…