Denim ina onekana ku kiki sana mwaka huu, ambapo wabunifu wame ongezea some touchs katika denim na imeonekana kupendwa sana na watu mbali mbali including us. Denim tend to be boring zikiwa plain japo zina valika lakini sometimes zinaonekana boring kwa kuongezea hizi touchs wabunifu wame fanya denim isiwe boring bali fun kuvaa, kuna vitu mbalimbali wabunifu wame onekana kuongezea lakini leo tunaongelea hiki cha kwanza ambapo ni
Embroiled hii ni kama kudarizi yaani jeans ina dariziwa maua au vikatuni, wanyama, wadudu na kadhalika. Kudarizi tumezoea kuona kwenye ma bazee lakiwa kwa sasa imewekwa kwenye jeans when African meets American baadhi ya wasanii walio onekana kuvutiwa na trend hii ni kama
Rihanna na Kanye West wao walivaa embroidered Gucci denim jacket wakati kila mtu alistyle jacket hili anavyo weza
Kanye West yeye alivaa jacket hili na denim trouser (denim on denim) na t shirt nyeusi na raba nyeusi casual
Wakati Rih yeye alivaa jacket hii na gauni jeupe na open heels
lakini kuna embroidered denim trouser pia hii tumeiona kwa rapa Tyga na mwanamitindo cara delevingne
Tyga alivaa suruali hio na hoodie nyekundu aliyo match na kofia yake na raba nyeupe
cara delevingne yeye alivaa hii suruali na short sleeves white shirt ambayo aliichomekea na mkanda mweusi na akamaliza muonekano wake na viatu vyeusi.
lakini pia kuna denim shirt,
denim skirt
, denim short pant
zote hizo zina weza kudariziwa na kuvaliwa vizuri, trend hii una weza kuifanya mwenyewe kama unajua kudarizi lakini pia una weza kupeleka denim yako kwa fundi juma aka kudarizia
baadhi ya fashion bloggers na fashionista walivyo style embroidered denim zao una weza kucopy
lakini pia kuna wabunifu mbali mbali walio tengeneza una weza kupata huko au bonyeza hapa kupata denim embroidered staffs by Gucci
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-denim-trend-1-embroidered-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-denim-trend-1-embroidered-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-denim-trend-1-embroidered-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-denim-trend-1-embroidered-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-denim-trend-1-embroidered-denim/ […]