Week ya iliyo pita tuliongelea kuhusu denim trend ya embroidered kama huku soma bonyeza hapa kusoma, lakini week hii tunaongelea kuhusu Raw Hem Denim trend hii ni ile trend ya watu kuvaa suruali za jeans zisizo fika chini yaani zinaishia kwenye kikonyo cha mguu kwenda juu pia kuna wengine ambao wana zikata ina kuwa kama ime fumuliwa badala ya kushonwa vizuri ( tutaonyesha mifano chini katika picha), kwetu tuna weza kusema tumeipa hii trend 85%Â kwa sababu ukiivaa wrongly then haina ku go back kuwa nzuri , but we love that denim zinapata mionekano mipya
Baadhi ya watu maarufu walio vutiwa na trend hii ni pamoja na
Selena Gomez
Kendall Jenner
Kama wewe ni mpenzi wa fashion na ume wa follow ma fashionista basi utakuwa ume waona wengi wakiwa wame vaa hizi suruali na kama ilivyo kwa embroiled denim hizi pia una weza kununua au kufanya mwenyewe nyumbani ni rahisi sana kata jeans yako chini urefu unao utaka halafu i distress toa zile nyuzi nyuzi and off you have it.
baadhi ya watu ambao tume kutana nao na tuka penda walivyo zi style
Je tuna fikiri every girl should own this pair of jeans? of course yes muda mwingine we need to have fun na mavazi yetu.
Je umeipenda trend au lah? tuandikie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…