Mwaka unaisha na kama kuna kitu ambacho mwaka huu umemalizika nacho ni kwamba hakukuwa na trends nyingi za accessories na bags, vingi vilichukua muda mchache na havikuvaliwa sana lakini kwa kufunga mwaka inaoneaka hii Moon
Shaped Frosted Acrylic Handbag kushika kasi.
Handbag hii ni perfect kwaajili ya mitoko ambayo utataka kubeba simu,makeup kits, pad na vitu vidogo vidogo, pia rangi yake ni nzuri unaweza kuvalia na mavazi ya rangi tofauti tofauti.
Tumeona ikiwa imebebwa na wasanii kama Irene Uwoya, Teni The Entertainer na Hamisa Mobetto.

Tumepitapita mitandaoni na tukakuta inauzwa $27.90 kwenye website ya shein sawa na Tsh 69,354.60/- na kwa Tanzania ipo kwenye boutique mbalimbali ambapo inauzwa kuanzia Tsh 100,000/-
Tuambie a clap or slap?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…