Hii ndio ile hayawi hayawi mbona yamekuwa, haolewi mbona kaolewa. Kourtney Kardashian ni dada mkubwa wa The Kardashian ambae wengi hatukudhani kama sikumoja tutakuja kuona harusi yake but here we are.
Well Kourtney ameshaolewa na mwanamuziki Travis Barker kwasasa wapo Italy kwaajili ya sherehe yao, na hivi ndivyo The Kardashian Crew walivyo fika Italy kwaajili ya sherehe hio.
The theme ilikuwa black, lakini bibi harusi ali-stando out tofauti akiwa amevalia red bodysuit, sheer maxi-length overlay na faux fur akiwa amemalizia muonekano wake na strappy heels na relaxed up do. Bwana harusi yeye alikuwa in all black outfit. Wakati mama wa Bibi harusi looked chic in a black tea-length dress with a sheer overlay, which also featured rose detailing across the chest and a statement collar. Kendall yeye alikuwa in sheer tea-length skirt,chocker na heels.



Kima alivalia monochromatic look ambayo ni soft black two pieces akiwa amemalizia muonekano wake na panta boots. Khloe went all sexy akiwa amevalia leopard-print gown with a corset bodice, adding simple strappy black heels, oversized sunglasses, a small structured purse. Huku Mama Stormi ( Kylie) kept it rocker-chic akiwa amevalia black dress, black and white boots alizo match na pochi yake.



We can already tell its going to be a long weekend
ORTOFINO, ITALY – MAY 20: Kim Kardashian is seen arriving at Ristorante Puny in Portofino on May 20, 2022 in Portofino, Italy. (Photo by NINO/GC Images
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-kardashian-took-over-italy-for-kourtnrey-traviss-wedding/ […]