Kwenye kuvaa au ku-style muonekano wako kuna tips mbalimbali mbazo wengi huwa hatuzijui au hatufuatilii. Moja kati ya tips hizo ni hii ya kuvaa si chini ya vitu vitatu katika outfit yako. Yes this tip huwa inatumiwa na watu maarufu wengi na ndio tip ambayo huwafanya mionekano yao iwe tofauti na wengi.
Maana ya The Rule Of Three
Hii ni rahisi maana yake ni kuvaa vitu si chini ya vitatu katika outfit yako, yaani kama unavaa suruali na tshirt basi hakikisha unaongezea kitu cha tatu ilikuweka utofauti au kunogesha muonekano wako.
Kuongezea kitu cha tatu katika muonekano wako kutasaidia kuinua muonekano wako kutoka ulipokuwa kwenda sehemu nyingine effortlessly, Kinogesha muonekano kinaweza kuwa blazer, kimono, pete, mkufu, hereni n.k.
Kama utaamua kuongezea vito basi hakikisha kinaendana na muonekano wako na kama muonekano wako upo simple basi hakikisha unachoongezea kitaweka statement.
Well Afromates tuambie je ulikuwa unajua kuhusu hii rule? Na je utaifuatisha au lah?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 62279 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-rule-of-three-minimum-of-3-items-on-one-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-rule-of-three-minimum-of-3-items-on-one-outfit/ […]