Linapokuja swala la men fashion huwa ni marudio, si mara nyingi kuona wabunifu wakija na kitu kipya kwenye mavazi ya kiume, huwa zinabadilika rangi, vifungo etc lakini mitindo ni ileile.
Lakini hivi karibuni tumeona hii trending style ya suit ambayo ime-catch attention yetu, this suit is sassy & classy tumewaona hawa gentlemen watatu wakiwa wameivaa and we had to share na ninyi mnaweza kupenda style na kuiiga
Ni suit nyeupe ambayo suruali yake inakuwa stripes za rangi tofauti pembeni, ukimuangalia hapo mwanamitindo kutoka Zimbabwe Tino Chinyani yeye suruali yake ina stripes za mustard yellow na nyeusi, tumependa alivyo style na kiremba kichwani, huku akimalizia na raba na funny pack mkononi to make it look less official.

Mwingine tuliyemuona na suit ya aina hii ni muizagi Gabo Zigamba, yeye aliivaa akiwa amehudhuria sherehe ya birthday ya mama Diamond, yeye ya kwake ilikuwa na stripe ya mustard yellow aliivaa na t-shirt nyeupe huku akimalizia outfit yake kwa kuvalia raba nyeupe na accessories kama miwani,saa na blacelet za gold.

Wakati mwingine tuliyemuona ni Big Brother Nigeria participant, Tobi Bakre yeye aliivaa katika Moet Grand Day, yakwake ikiwa na stripes za gold akiwa amemalizia muonekano wake na raba nyeupe, miwani na bracelet.

Tuambie umeipenda aina hii ya suit?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-smoking-hot-suit-every-man-must-have/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-smoking-hot-suit-every-man-must-have/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 21852 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-smoking-hot-suit-every-man-must-have/ […]