Wanasema linapokuja swala la fashion expect anything, wabunifu kila siku wanakuja na jambo jipya, mwaka jana tuliona viatu na denim wamekuwa wakileta designs mbalimbali, mwaka huu tunaona ni zamu ya handbags, hadi sasa tumeona invention mbili ambazo zimetufanya tuwe surprised kidogo na kuwaza hawa wabunifu wamefikiria nini kubuni hizi bags,
Mbunifu Jacquemus amekuja na hizi Tiny bags ambazo amezipa jina “Le Chiquito”, ni handbag ndogo ambazo zinaweza kubebea pesa tena si kiasi kikubwa, labda na big g au lip balm, bags hizi zinakuja kwa rangi ya white, pink, yellow, light blue na pale green.
Tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanazitumia it made us wonder wamebeba nini, tumemuona Beyonce, Rihanna, Kendall Jenner na wengine wengi wakiwa wamebeba bags hizi ambazo zinauzwa kati ya $345 – $795, zaidi ya laki 8 za Ki-Tanzania
Kwa upande mwingine brand kubwa ya fashion Chanel wao wamekuja na hizi double Chanel Bags, yaani bags mbili za Chanel zinavaliwa kwa wakati mmoja, one of the invention ambazo to us tunadhani Chanel is too classy for this, tunasema hivyo kwa sababu we see no creativity here kwa maana anybody can do this unaweza beba bags zako mbili Chanel or not ukatafuta kitu cha kuunganishia mikanda katikati umemaliza, kitu ambacho labda tunaweza kusema wameanzisha ni kubeba pochi mbili, which who would do that? kama unauwezo wa kubeba moja na vitu vyako vikafit? anyways that’s our opinion ila tumemuona mwanamuziki Cardi B akiwa amevalia hii bag
Well Afromates which one would you prefer? The Tiny Bag or Double Bag?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-tiny-bag-by-jacquemus-vs-double-chanel-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-tiny-bag-by-jacquemus-vs-double-chanel-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-tiny-bag-by-jacquemus-vs-double-chanel-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-tiny-bag-by-jacquemus-vs-double-chanel-bag/ […]