Animal print zinakuwaga kwenye trend kila mwaka, mara nyingi ni kipindi cha autumn,Imekuwa style maaruf kwa miaka mingi sasa, ukivaa animal print unaonekana mtu wa hali ya juu (expensive) na ni alama ya wealth & status, katika historia wafalme ndiowalikuwa wakitumia sana animali print katika kuvaa lakini pia kwenye mapambo, miaka ya 1960 animal print ikawa maarufu kwa wanawake pia.
Zamani ilikuwa inatumia animal print ya ukweli kwa kuua wanyama lakini kwa sasa zinakuwa printed tu kwenye canvas na kitambaa kinatokea ( asante teknolojia), well mwaka huu trend hii imerudi in classic and bold way, kuanzia prints za Snake,zebra, dots, white, black, brown, blue… you name it kila aina ya print na kila aina ya rangi, watu maarufu wengi wameonekana kuvaa trend hii kutoka kwa fashionita’s, wanamuziki, waigizaji, etc.
Tumewaona Rappers ambao wameshika game kwa sasa nao ni Nicki Minaj na Cardi B wakiwa wamevalia trend hii, wao wakiwa wameattend kwenye fashion show’s hapa wamekuwa extra kidogo we all know kwenye red carpet au fashion shows you have to make statement.
Nicki Minaj yeye ali-attend katika Harper’s Bazaar ICONS party, Inside, katika New York Fashion Week akiwa amevalia gauni hili la animal print kutoka kwa ALEXANDRE VAUTHIER, akiwa amemaliza na pumps za animal print pia she looked like a tiger.
Wakati Cardi b yeye alihudhuria katika show ya Dolce & Gabbana in full animal print outfit, ambapo alivaa trench coat na thigh high boots za animal print akamalizia muonekano wake na scarf aliyoifunga shingoni ya animal print na Dolce & Gabbana glasses za animal print, you wouldn’t wanna meet her kichakani definitely ungekimbia na kujua ni chui.
Lakini pia tumemuona mwanamama Beyonce katika tour yake ya Otr2 akiwa amevalia full animal print outfit
Well Juu tumeona namna ambavyo unaweza kustyle animal print kwenye event kubwa lakini you can dress them down kwa event ndogo ndogo kama dinner dates, movie dates etc na hawa ndio fashionista’s waliotuonyesha namna ambavyo unaweza kuvaa print hii kwenye events za kawaida.
Stella Uzo kutoka Nigeria yeye alipost akiwa amevalia animal print skirt,graphic tee nyeupe huku akiwa amemalizia na strap sandals nyeusi na handbag ya blue very comfortable unaweza vaa kazini kama ni casual day, kama sio unaweza kuongezea shirt ya mikono mirefu ya rangi moja.
Fashionista Chic Ama yeye ametuonyesha namna ambavyo unaweza kuvaa trend hii in a sexy way kama short pant, yeye alivaa na ruffle red top, akamalizia muonekano wake na black pumps, Gucci big belt na small handbag yenye animal print hukua akiwa na glasses usoni na animal print scarf shingoni. unaweza kuvaa hii outfit katika mitoko ya usiku.
ms_ris_eddy kutoka Tanzania yeye tulimuona kwenye trend hii akiwa amevalia wide leg animal print trouser, ambapojuu alivalia na mustard yellow crop top, akamalizia na nude shoes, statement earrings, shawl na miwani .
Kama hupendi kuvaa full au kufanya hii animal print tend kuwa statement unaweza kuivaa kama accessories, miwani, scarf, viatu, handbag etc.
Related posts
8 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 22330 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 4453 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/the-world-has-become-a-jungle-everyone-is-in-animal-prints/ […]