Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na mwaka 1967 ndipo tulipata mrembo wetu wa kwanza bi. Theresa Shayo mashindano haya yalifanyika kat Kilimanjaro hoteli ambayo kwa sasa ina julikana kama Hyatt Regency jijini Dar Es Salaam.
Bi Theresa Shayo Akipita Jukwaani
Lakini kwa bahati mbaya haya mashindano yalipigwa marufuku mwaka huo huo na kuanzishwa tena katika Awamu ya Rais Wa Pili 1985-1995 Alhaj Ali Hassan Mwinyi baada ya utandawazi kushika kasi
Bi Theresa Shayo Amevalia Namba 5
Mshindi huyo wa kwanza kushiriki mashindano hayo ya urembo ya Miss Tanzania Theresa Shayo, alifariki dunia huko Augburg Munich Ujerumani kwa maradhi ya kansa ya tumbo huku akiwa na umri wa miaka 61 na kuzikwa uko uko alikokuwa akiishi miaka yote hiyo.
kutoka kushoto kwenda kulia , Miss Tanzania (Teresa Shayo), Miss Uganda (Rosemary Salmon), Miss Nigeria (Rosalind Balogun) na Miss Ghana (Araba Vroon)
Theresa hakubahatika kupata mtoto na alikuwa akiishi mjini Augsburg ambako aliolewa na mjerumani aitwaye Chrstian Rieger ambaye waliachana na hadi anakufa alikuwa akiishi na boyfriend aitwaye Tonny.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/theresa-shayo-miss-tanzania-wa-kwanza-1967/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 43453 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/theresa-shayo-miss-tanzania-wa-kwanza-1967/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/theresa-shayo-miss-tanzania-wa-kwanza-1967/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/theresa-shayo-miss-tanzania-wa-kwanza-1967/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 31218 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/theresa-shayo-miss-tanzania-wa-kwanza-1967/ […]